Mgombea Urais wa Republican, Donald Trump anaendesha Mazungumzo na Mmliki wa Mtandao wa X (Twitter), Elon Musk na hadi kufikia Saa 10 Kasoro usiku wa leo Agosti 13, 2024 watu waliofanikiwa kujoin ni zaidi ya Milioni 1.4.
Hata hivyo Elon Musk amelalamika kupata mashambulizi kadhaa ndani ya Mtandao ambayo yalipelekea kuyumba kwa mtandao mara kadhaa na kupoteza usikivu.
TRUMP ANA MTANDAO WAKE UNAITWA TRUTH SOCIAL HATAKIWI KUHANGAIKA NA MITANDAO YA WATU WENGINE YEYE AKUZE TU WAKE, HAPO ANAMPA ELON PROMOTION YA X, ZAMANI UKIITWA TWITTER WALIMFUNGIA, AACHANE NAO