Konakali JF-Expert Member Joined Dec 15, 2009 Posts 1,533 Reaction score 266 Feb 1, 2010 #1 Jamani msijaribu hii, ni wizi mtupu! Wanadable gharama za kupiga simu, halafu ndo wanakurudishia nusu kwa masharti ya kutumia. Mimi najuta.
Jamani msijaribu hii, ni wizi mtupu! Wanadable gharama za kupiga simu, halafu ndo wanakurudishia nusu kwa masharti ya kutumia. Mimi najuta.
Chimunguru JF-Expert Member Joined May 3, 2009 Posts 10,678 Reaction score 4,370 Feb 1, 2010 #2 Hahahah biashara hiyo mkuu, hebu fikiria wewe upige simu ya ths 200 halafu urudishiwe mia mbili yote ni kanisa hilo au, wale wafanyakazi watalipwa mshahara wao na nini?
Hahahah biashara hiyo mkuu, hebu fikiria wewe upige simu ya ths 200 halafu urudishiwe mia mbili yote ni kanisa hilo au, wale wafanyakazi watalipwa mshahara wao na nini?