Nimekuwa nikifika katika hospitali ya Turiani mara kwa mara na kwa kweli mawasiliano ya Zain na Vodacom hayaridhishi kabisa.
Ni vigumu kupata internet na simu inakatika sana.Eneo hili lina mzunguko mkubwa wa pesa kutokana na shughuli za kilimo cha miwa na mpunga na naamini Zain na Vodacom hawatapata hasara kwa kuboresha huduma zao.
Ni vigumu kupata internet na simu inakatika sana.Eneo hili lina mzunguko mkubwa wa pesa kutokana na shughuli za kilimo cha miwa na mpunga na naamini Zain na Vodacom hawatapata hasara kwa kuboresha huduma zao.