Zaituni Shabani Salum wa ZAMHSO: Elimu ya Afya ya Akili ni nguzo muhimu kwa kizazi chetu

Zaituni Shabani Salum wa ZAMHSO: Elimu ya Afya ya Akili ni nguzo muhimu kwa kizazi chetu

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
WhatsApp Image 2025-02-06 at 16.56.02_01ba30c4.jpg
Katika kuendeleza mradi wa kutoa Elimu ya Afya ya Akili Shuleni Zanzibar, Taasisi ya Zanzibar Mental Health Support Organization (ZAMHSO) inaendelea kufanya juhudi kuhakikisha inafikia shule zaidi ya 50 Kisiwani Unguja kama ilivyo sema hapo awali pia kufikia zaidi ya Wanafunzi 5,000.

Wahusika watakaotembelea watapata elimu ya Afya ya Akili ili kuweza kujua namna ya kujilinda vyema na kufikia malengo yao.

Mkurugenzi Mkuu wa ZAMHSO, Mwalimu wa Saikolojia wa Chuo Kikuu cha Abdurahman Al-Sumait, na Mwanasaikolojia kutoka Hospitali ya Ampola Tasakhtaa, Zaituni Shabani Salum, alisema:

“Leo tumekuwa na siku yenye mafanikio makubwa katika kuendelea kueneza elimu ya Afya ya Akili Shuleni! 📚💙 katika Skuli ya Aboud Jumbe, tumeweza kushiriki maarifa muhimu kuhusu Afya ya Akili na ustawi wa Wanafunzi, tukihakikisha kila mmoja anapata uelewa sahihi wa jinsi ya kujali afya yake ya kiakili.”
WhatsApp Image 2025-02-06 at 16.56.02_ab93ed86.jpg

WhatsApp Image 2025-02-06 at 16.56.01_f6ae30b5.jpg

WhatsApp Image 2025-02-06 at 16.56.00_5e0bb97c.jpg
Ameongeza “Elimu hiyo ni nguzo muhimu kwa kizazi chetu, tunapowapa Wanafunzi ambao ni taifa la kesho uelewa na msaada wanaohitaji, tunajenga jamii yenye afya bora zaidi.

“Tutapumzisha zoezi letu la utoaji wa elimu kwa muda wa wiki 3 ili kuwapa nafasi Wanafunzi wetu wa chuo ambao ndio watoaji wakuu wa elimu kwa ajili ya mitihani yao ya UE inayotarajia kuanza Februari 11, 2025, kisha baada ya hapo tutakuwa na safari ya Iringa.

“Tukirudi tutaendelea na mradi wetu mwezi Machi, Mungu akipenda kama ratiba yetu inavyooneka kwenye page zetu. Tunatoa wito kwa wote ambao wapo tayari kutudhamini wa wasiliane na sisi.”

Mradi huu wa miezi sita unategemea kuhitimishwa mwishoni mwa mwezi Juni 2025, kabla ya kuendelea na awamu yake ya pili kisiwani Pemba kuanzia Agosti hadi Desemba 2025.

Pia soma:
~
Zanzibar Mental Health Support Organization imeanza kutekeleza Rasmi Mradi wa Elimu ya Afya ya Akili Shuleni
~ ZAMHSO: Mradi wa Afya ya Akili Shuleni utaacha athari chanya na kuleta mabadiliko ya kudumu
 
Katika kuendeleza mradi wa kutoa Elimu ya Afya ya Akili Shuleni Zanzibar, Taasisi ya Zanzibar Mental Health Support Organization (ZAMHSO) inaendelea kufanya juhudi kuhakikisha inafikia shule zaidi ya 50 Kisiwani Unguja kama ilivyo sema hapo awali pia kufikia zaidi ya Wanafunzi 5,000.

Wahusika watakaotembelea watapata elimu ya Afya ya Akili ili kuweza kujua namna ya kujilinda vyema na kufikia malengo yao.

Mkurugenzi Mkuu wa ZAMHSO, Mwalimu wa Saikolojia wa Chuo Kikuu cha Abdurahman Al-Sumait, na Mwanasaikolojia kutoka Hospitali ya Ampola Tasakhtaa, Zaituni Shabani Salum, alisema:

“Leo tumekuwa na siku yenye mafanikio makubwa katika kuendelea kueneza elimu ya Afya ya Akili Shuleni! 📚💙 katika Skuli ya Aboud Jumbe, tumeweza kushiriki maarifa muhimu kuhusu Afya ya Akili na ustawi wa Wanafunzi, tukihakikisha kila mmoja anapata uelewa sahihi wa jinsi ya kujali afya yake ya kiakili.”
Ameongeza “Elimu hiyo ni nguzo muhimu kwa kizazi chetu, tunapowapa Wanafunzi ambao ni taifa la kesho uelewa na msaada wanaohitaji, tunajenga jamii yenye afya bora zaidi.

“Tutapumzisha zoezi letu la utoaji wa elimu kwa muda wa wiki 3 ili kuwapa nafasi Wanafunzi wetu wa chuo ambao ndio watoaji wakuu wa elimu kwa ajili ya mitihani yao ya UE inayotarajia kuanza Februari 11, 2025, kisha baada ya hapo tutakuwa na safari ya Iringa.

“Tukirudi tutaendelea na mradi wetu mwezi Machi, Mungu akipenda kama ratiba yetu inavyooneka kwenye page zetu. Tunatoa wito kwa wote ambao wapo tayari kutudhamini wa wasiliane na sisi.”

Mradi huu wa miezi sita unategemea kuhitimishwa mwishoni mwa mwezi Juni 2025, kabla ya kuendelea na awamu yake ya pili kisiwani Pemba kuanzia Agosti hadi Desemba 2025.
Elimu ya Afya ya Akili ni Muhimu sana!
 
Katika kuendeleza mradi wa kutoa Elimu ya Afya ya Akili Shuleni Zanzibar, Taasisi ya Zanzibar Mental Health Support Organization (ZAMHSO) inaendelea kufanya juhudi kuhakikisha inafikia shule zaidi ya 50 Kisiwani Unguja kama ilivyo sema hapo awali pia kufikia zaidi ya Wanafunzi 5,000.

Wahusika watakaotembelea watapata elimu ya Afya ya Akili ili kuweza kujua namna ya kujilinda vyema na kufikia malengo yao.

Mkurugenzi Mkuu wa ZAMHSO, Mwalimu wa Saikolojia wa Chuo Kikuu cha Abdurahman Al-Sumait, na Mwanasaikolojia kutoka Hospitali ya Ampola Tasakhtaa, Zaituni Shabani Salum, alisema:

“Leo tumekuwa na siku yenye mafanikio makubwa katika kuendelea kueneza elimu ya Afya ya Akili Shuleni! 📚💙 katika Skuli ya Aboud Jumbe, tumeweza kushiriki maarifa muhimu kuhusu Afya ya Akili na ustawi wa Wanafunzi, tukihakikisha kila mmoja anapata uelewa sahihi wa jinsi ya kujali afya yake ya kiakili.”
Ameongeza “Elimu hiyo ni nguzo muhimu kwa kizazi chetu, tunapowapa Wanafunzi ambao ni taifa la kesho uelewa na msaada wanaohitaji, tunajenga jamii yenye afya bora zaidi.

“Tutapumzisha zoezi letu la utoaji wa elimu kwa muda wa wiki 3 ili kuwapa nafasi Wanafunzi wetu wa chuo ambao ndio watoaji wakuu wa elimu kwa ajili ya mitihani yao ya UE inayotarajia kuanza Februari 11, 2025, kisha baada ya hapo tutakuwa na safari ya Iringa.

“Tukirudi tutaendelea na mradi wetu mwezi Machi, Mungu akipenda kama ratiba yetu inavyooneka kwenye page zetu. Tunatoa wito kwa wote ambao wapo tayari kutudhamini wa wasiliane na sisi.”

Mradi huu wa miezi sita unategemea kuhitimishwa mwishoni mwa mwezi Juni 2025, kabla ya kuendelea na awamu yake ya pili kisiwani Pemba kuanzia Agosti hadi Desemba 2025.
Hakuna afya bila afya ya akili
 
Back
Top Bottom