Zakazakazi kamaliza Utata: Yanga SC kamkimbia Simba SC mara 4 na Simba SC kamkimbia Yanga SC mara 3

Zakazakazi kamaliza Utata: Yanga SC kamkimbia Simba SC mara 4 na Simba SC kamkimbia Yanga SC mara 3

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tusichoshane sana hapa bali kwa anayetaka Kuusikia huu UKWELI MCHUNGU wa Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano Azam FC Zaka Za Kazi aende Wasafi Fm na atamsikia kwani ameelezea Kiundani kabisa huku kama kawaida yake akiwa Anajiamini na Muwazi.
 
Bakharesa anapoteza muda, Mtu ameajiriwa Azam ila anakuwa msemaji wa 5imba, aje atuambie hapa 5 imetolewa mara ngapi na Namungu kwenye Federetion
Hapa Bakhresa atakuwa anamlipa mshahara mtumishi hewa.
 
Back
Top Bottom