Mohamed Mbelwa
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 507
- 272
Kama umeshawahi kutana na mtu yoyote bar, akijiita papaa au pedeshzee basi utaona masifa yake, akiwa na Elfu30 utafikiri ana laki.
Basi hizo sifa zinatokana na wakongo na ndio maana wanajiita majina ya kikongo
Je umeshawahi msikia kocha wa yanga, mwinyi zahera akipenda misifa,
umeshawahi muona akiponda viwanja vyetu vya michezo utafikiri kongo kuna viwanja kama vya ulaya? umeshawahi msikia akiwaongelea wachezaji wa liking, wanavyolipwa vizuri na vilabu vya kongo?. Anasema timu za kongo zinalipa vizuri sana kuliko hapa kwetu, ila anasahau kuwa yeye ameondoka huko kongo kwenye timu zinazolipa vizuri kaja Tanzania kwenye timu isiyolipa kabisa. Anasema hakuna mchezaji anayecheza hapa Tanzanian anayeweza kuchezea timu ya taifa ya kongo,
Huyu ndiye mwinyi zahera, kocha wa yanga MPENDA SIFA
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi hizo sifa zinatokana na wakongo na ndio maana wanajiita majina ya kikongo
Je umeshawahi msikia kocha wa yanga, mwinyi zahera akipenda misifa,
umeshawahi muona akiponda viwanja vyetu vya michezo utafikiri kongo kuna viwanja kama vya ulaya? umeshawahi msikia akiwaongelea wachezaji wa liking, wanavyolipwa vizuri na vilabu vya kongo?. Anasema timu za kongo zinalipa vizuri sana kuliko hapa kwetu, ila anasahau kuwa yeye ameondoka huko kongo kwenye timu zinazolipa vizuri kaja Tanzania kwenye timu isiyolipa kabisa. Anasema hakuna mchezaji anayecheza hapa Tanzanian anayeweza kuchezea timu ya taifa ya kongo,
Huyu ndiye mwinyi zahera, kocha wa yanga MPENDA SIFA
Sent using Jamii Forums mobile app