Zama za leo kumueleza mtu ukweli inapaswa ujikaze kiume kwelikweli

Zama za leo kumueleza mtu ukweli inapaswa ujikaze kiume kwelikweli

Lanlady

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2019
Posts
1,836
Reaction score
6,303
Iko hivi, utakuka mtu amekosea na anahitaji kurekebisha alipokosea lakini mtu huyo anabagua aina ya watu wa kumwambia ukweli.

Hii ipo kuoanzia ngazi za familia, jamii na kitaifa. Kwa mtu binafsi, kiongozi au taasisi.

Unaweza kuthubutu kwa kujikaza kumweleza mtu madhaifu fulani, ila uwe tayari kukutana na kauli kama vile "huo ni wivu tu, anatamani hii nafasi angepewa yeye, ana chuki.

Na kama huyo kiongozi ni wa dini tofauti na yako basi utasikia suala la udini. Swali ni je, tutaweza kufika tunakotarajia kufika pasipo kurekebishana au kukosoana?
 
😂😂😂😂 ukiwa mkweli utaonekana huna nidhamu
 
Sijapenda mods kuiondoa hii hoja kwenye jukwaa la siasa. Labda niwaambie, tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu, si kila member atakuwa tayari kumzungumzia kiongozi au viongozi fulani moja kwa moja.
Wakati mwingine tutatumia lugha za mifano,visa au mikasa ili kufikisha ujumbe.

Leo hii kila anayetaka kuzungumzia madhaifu ya serikali lazima ajiandae kupingwa hata kama anachoeleza ni sahihi. Hoja ya jinsi, itikadi za dini,ukanda, utaifa, kiwango cha elimu, nk, zimekuwa zikitumika kudhoofisha hoja zinazokosoa serikali. Hivyo, tunaweza kutumia mifano, visa au mikasa.

NB: Akili kubwa hujadili zaidi hoja. Tujikite zaidi kwenye hoja
 
Iko hivi, utakuka mtu amekosea na anahitaji kurekebisha alipokosea lakini mtu huyo anabagua aina ya watu wa kumwambia ukweli.

Hii ipo kuoanzia ngazi za familia, jamii na kitaifa. Kwa mtu binafsi, kiongozi au taasisi.

Unaweza kuthubutu kwa kujikaza kumweleza mtu madhaifu fulani, ila uwe tayari kukutana na kauli kama vile "huo ni wivu tu, anatamani hii nafasi angepewa yeye, ana chuki.

Na kama huyo kiongozi ni wa dini tofauti na yako basi utasikia suala la udini. Swali ni je, tutaweza kufika tunakotarajia kufika pasipo kurekebishana au kukosoana?
Kuondokana na tatizo la unafiki and improving our IQ &EQ.
 
Sijapenda mods kuiondoa hii hoja kwenye jukwaa la siasa. Labda niwaambie, tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu, si kila member atakuwa tayari kumzungumzia kiongozi au viongozi fulani moja kwa moja.
Wakati mwingine tutatumia lugha za mifano,visa au mikasa ili kufikisha ujumbe.

Leo hii kila anayetaka kuzungumzia madhaifu ya serikali lazima ajiandae kupingwa hata kama anachoeleza ni sahihi. Hoja ya jinsi, itikadi za dini,ukanda, utaifa, kiwango cha elimu, nk, zimekuwa zikitumika kudhoofisha hoja zinazokosoa serikali. Hivyo, tunaweza kutumia mifano, visa au mikasa.

NB: Akili kubwa hujadili zaidi hoja. Tujikike zaidi kwenye hoja
Mods wanafuta nyuzi , wana zinhide thread zisionekane na wengine imekuwa ni ovyo sana
 
Back
Top Bottom