sijawahi kumkubali huyu jamaa tangu aingie, na hakuna sababu yeyote ya msingi, ila huwa simkubali. wamwondoe tu.Boss wa TFF zama zake zinaelekea ukingoni kwa kutumia madaraka yake vibaya kwa kuendesha TFF na kuichezesha segere atakavyo ni suala la muda tu atang'oka si ajabu akawa anatokea Segerea, ni suala la muda tu amegusa kwenye mfupa wenye nyama na kaingia king mwenyewe.
Boss wa TFF zama zake zinaelekea ukingoni kwa kutumia madaraka yake vibaya kwa kuendesha TFF na kuichezesha segere atakavyo ni suala la muda tu atang'oka si ajabu akawa anatokea Segerea, ni suala la muda tu amegusa kwenye mfupa wenye nyama na kaingia king mwenyewe.
🤣🤣🤣We unajua pale kajiweka mwenyewe kama uchaguzi wa serikali za wanafunzi tu vyuoni serikali inaweka vibaraka wao je TFF taasisi kubwa wataacha kutoa maagizo yao nyie utopolo endeleeni kujidanganya karia yupo sana ili alidhibiti lile domo la msekule lisilo na break.
Pamoja na kunywa wote juice lakini zungu pori kapigwa nyundoBoss wa TFF zama zake zinaelekea ukingoni kwa kutumia madaraka yake vibaya kwa kuendesha TFF na kuichezesha segere atakavyo ni suala la muda tu atang'oka si ajabu akawa anatokea Segerea, ni suala la muda tu amegusa kwenye mfupa wenye nyama na kaingia king mwenyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah.We unajua pale kajiweka mwenyewe kama uchaguzi wa serikali za wanafunzi tu vyuoni serikali inaweka vibaraka wao je TFF taasisi kubwa wataacha kutoa maagizo yao nyie utopolo endeleeni kujidanganya karia yupo sana ili alidhibiti lile domo la msekule lisilo na break.
sijawahi kumkubali huyu jamaa tangu aingie, na hakuna sababu yeyote ya msingi, ila huwa simkubali. wamwondoe tu.