Klabu ya Zamalek Imefanikiwa kutwaa Ubingwa Wa Super Cup Mara Baada ya Kuwafunga Mahasimu Wao Wa Jadi National Ahaly.
Mechi Ilitamatka Kwa Kutoa Suluhu ya Goli Moja Kwa Moja Ndani ya Dakika Tisini Na Mchezo Kuamuliwa Na Penati Ambapo Zamalek Amefanikiwa Kupata Penati 4 Kwa 3