Zamani CCM walisema Zidumu fikra " sahihi" za mwenyekiti Sasa Chadema wanasema ' Zidumu fikra za mwenyekiti'

Sawa

Ila ukisema hivyo unakuwa hauna hoja, mpaka leo chedema ndio chama ambacho kimepata nafasi ya pili kwenye urais na ubunge na ikiwa na dj

So lete hoja za msingi sio mipasho
Mgombea urais alikuwa Lowassa wa CCM na mgombea mwenza Hajji Duni Cuf.....usisahau hilo bwashee!
 


Wafuasi wa Chadema ni sawa na wanachama wa Yanga, hawana tofauti kabisa....wao kila siku ni kulalamika tu japo hawana hoja za msingi.
 
Chadema ndio dume la mbegu ndio maana maccm mnahenya kwelikweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…