bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Ref:Bristol city 2 Man utd 1
Leicester city 2 man utd 2.
Labda game na Burnley ndio kidogo nimeiona ile Manchester united ya Babu Ferguson,kipindi cha Sir dakika za lala salama ndio zilikua za man utd hata kama unaongoza piga ua zile dakika za mwisho lazima goli zirudi na la nyongeza juu.
Ila siku hizi mambo siyo kabisa sisi ndio tunachapwa dakika za mwishoni wachezaji wameshindwa kujua umuhimu wa kuvaa jezi ya man utd wamekosa nguvu ya kupamabana,kocha wetu naye aache utani wa kujaribu wachezaji/mifumo katika mechi za ligi na badala yake apange kikosi kikali.Tulikua watu wa kukaa viti vya mbele kibandani kwa Mangi au kaunta ila siku hizi tunakaa kule nyuma kabisa hatuna uhakika na kushinda.
Leicester city 2 man utd 2.
Labda game na Burnley ndio kidogo nimeiona ile Manchester united ya Babu Ferguson,kipindi cha Sir dakika za lala salama ndio zilikua za man utd hata kama unaongoza piga ua zile dakika za mwisho lazima goli zirudi na la nyongeza juu.
Ila siku hizi mambo siyo kabisa sisi ndio tunachapwa dakika za mwishoni wachezaji wameshindwa kujua umuhimu wa kuvaa jezi ya man utd wamekosa nguvu ya kupamabana,kocha wetu naye aache utani wa kujaribu wachezaji/mifumo katika mechi za ligi na badala yake apange kikosi kikali.Tulikua watu wa kukaa viti vya mbele kibandani kwa Mangi au kaunta ila siku hizi tunakaa kule nyuma kabisa hatuna uhakika na kushinda.