johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ilikuwa unamsikia Suleiman Kumchaya au Jacob Tesha kwenye Taarifa ya Habari RTD kwamba Rais Nyerere amemfuta kwenye Baraza la Mawaziri Waziri Naniliu
Hapo Ndio upekuzi wa Sukununu unaanza kufuatilia huyo Waziri kafanya kosa gani
Siku hizi Mawaziri Wana makandokando kibao kiasi kwamba akitumbuliwa hakunaga Mwananchi atamuhurumia
Mlale Unono 😀
Hapo Ndio upekuzi wa Sukununu unaanza kufuatilia huyo Waziri kafanya kosa gani
Siku hizi Mawaziri Wana makandokando kibao kiasi kwamba akitumbuliwa hakunaga Mwananchi atamuhurumia
Mlale Unono 😀