Zamani nilidhani kila anayeenda Posta ni mwanaJF

toplemon

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2017
Posts
4,612
Reaction score
4,721
Habari zenu bas bwana miaka ya nyuma nirikua nikienda posta kufata vipaseli vya kununua au mzgo kira mtu nirikutana nae nirijuwa ni mwanaJamiiForums.

Yaan kira niromuona ofsi za posta nirijua ni mtu wa jf niridhan kira anayechukua mzgo posta umetumwa kutoka nje au kanunua onrine bas ni mwanajeyfii.

Kingine kuna picha nikihona mtu kaweka kwenye plofile popote akiri inanitumia ni MwanaJF

Bas kira ariyenifata watssp nirijua ni mtu wa jf wedandi

Hata warourizia ire hatiatuneli plus nirijuwa ni wanajf s mnaijuwa hatiaytunel eeh

Kuna picha hata wazungu fran akiwekwa najuwa ni mtu wa JF.

Sasa niereze na wew unamuonaje mtu ukamdhan ni mjeyfi?Mimi nirishahona posta kira ofsi ya posta na kira watssap na kira hatieytunnel prus

Kuna siku nirishataman jf iwe nchi hulu niingiye humo au riwe taifa tuzame kwenye cm tuishi huko nchini JF kuingia onrine haina mahana kama hamuungii kwer kwa vitendo yaani kuzama kwenye hyo intanet kuingia hapo ndan na kuzamia kabisa munaona humo humo mfano mtu anapozamia kwenye rikisima au yare mabawa ya kuogerea unazama na rikichwa niritaman jf iwe ni zame hapo nipotereye humo mahana huko dunian panachosha bora JF ingerikua inchi tu.
 
urikuha na mawatho madhuri thana 🐒

Kwan thathaivi hunahichukuriaje JF

R.I.P Laigwanan comrade ENL
 
Huu mwandiko 😂😂
 
"Habali zenu bas bwana miaka ya nyuma nirikua nikienda posta *kufata vipaseli vya kununua au mzgo kira mtu nirikutana nae nirijuwa ni mwanajamiiforum"

Mjomba; shule ulimaliza lakini??
 
Ni makusudi au ubishoo wa ujana kujaza r pasipo husika? Kama sivyo nenda k awatandike bakora walimu wako wote!
 
Acha ujinga wako wewe! Unaandika kama mtoto wa darasa la pili!
 
Walimu wa somo la Mwandiko waongezwe shuleni.
 

Mzee baba unatumia keyboard ya kikurya kutype?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…