Zamani nilikuwa nashaangaa unafikaje 30 huna nyumba!

Zamani nilikuwa nashaangaa unafikaje 30 huna nyumba!

  • Hahaha!!!
  • Nilikuwa nikisikia mtu amefariki ana miaka 30 hivi au arobaini naona ameishi miaka mingi, na ametimiza malengo
  • Nimeifikia, na mchezo unanielemea
 
Chama chetu cha CUK Baada ya katiba Mpya kupatikana na kupewa ridhaa kuongoza nchi,kitahakikisha vijana wa umri wako wanatimiza ndoto ZAO mapema kabla hawajazeeka!!


Kwakuwa madini yote tunayo tutaanzisha VIWANDA vya magari Hapa nchini, Hivyo yatashuka Bei na mtanunua bei ya chini!jiandae kuwa mwanachama!
 
Back
Top Bottom