Zamani nilikuwa nashangaa sana mtu anafikishaje miaka 30 hana nyumba wala gari?! Aisee naombeni mnisamehe[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Zamani nilikuwa nashangaa sana mtu anafikishaje miaka 30 hana nyumba wala gari?!! .Aisee naombeni mnisamehe[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Chama chetu cha CUK Baada ya katiba Mpya kupatikana na kupewa ridhaa kuongoza nchi,kitahakikisha vijana wa umri wako wanatimiza ndoto ZAO mapema kabla hawajazeeka!!
Kwakuwa madini yote tunayo tutaanzisha VIWANDA vya magari Hapa nchini, Hivyo yatashuka Bei na mtanunua bei ya chini!jiandae kuwa mwanachama!