Zamani walikuwa wanaitwa "mama ntilie" ila sasa ni "mama lishe". Kwani hakuwezi kuwa na jina la Kiswahili lenye staha kwa hawa dada zetu "barmaids"?

Zamani walikuwa wanaitwa "mama ntilie" ila sasa ni "mama lishe". Kwani hakuwezi kuwa na jina la Kiswahili lenye staha kwa hawa dada zetu "barmaids"?

Infantry Soldier

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2012
Posts
15,892
Reaction score
16,476
Habari za wakati huu jamiiforums.

Zamani walikuwa wanaitwa "mama ntilie" ila sasa ni "mama lishe". Kwani hakuwezi kuwa na jina la Kiswahili lenye staha kwa hawa dada zetu "barmaids"?

Binafsi ninaona kama wanasiasa wamewasahau sana hawa akina dada wanaotoa huduma kwa wateja kule bar. Neno mama lishe, kama sijakosea, lilianzishwa na mzalendo mwenzangu Hayati mzee B.W Mkapa (wahenga mtanisahihisha katika hili kama nitakuwa nimekosea) wakati wa kuelekwa campaigns za mwaka 2000. Sasa mbona nyie wanasiasa wa sasa mmewasahau hawa dada zetu?

SOMA PIA>>> Kuna haja ya Serikali kupitia wakuu wa wilaya na mikoa kuwabana wamiliki wa baa ili dada zetu wahudumu wapewe kadi za bima ya afya ya CHF?

Maoni ya mdau
=====
Kuna mmoja nimemuita kachukia, nikamuambia mfanyakazi wa nyumbani ni house maid, bado anakasirikia.
 
Tatizo lililopo na wewe unalo bila kujua ni kudharau kazi..., Haijalishi kama jina linaongeza sifa cha maana ni mkono kwenye kinywani (mtu kula kwa jasho lake)

Jina linaonyesha/linajulisha kazi mtu anayofanya sio mtu ni driver unajiita Chauffeur au ni Cook unajiita Chef
 
Tatizo lililopo na wewe unalo bila kujua ni kudharau kazi...,
Ningekuwa ninawadharau nigewapigia debe wapewe bima ya afya?
 
Tatizo lililopo na wewe unalo bila kujua ni kudharau kazi..., Haijalishi kama jina linaongeza sifa cha maana ni mkono kwenye kinywani (mtu kula kwa jasho lake)

Jina linaonyesha/linajulisha kazi mtu anayofanya sio mtu ni driver unajiita Chauffeur au ni Cook unajiita Chef
Dereva wa lorry anaweza kujiita chauffeur?
 
Bar maid...a woman who serves drinks in a bar. Kwani hili jina ambalo linaeleza kazi yao halina staha?

mdada wa ndani ni maid au officiall Housemaid sema tatizo Stereotypical idea iliyopo kwenye jamii kuwachukulia kua Barmaid wote ni whore ambacho kitu sio sahihi wakiume tunaitwa Bar tender et wakike Barmaid wakati vyote ni vitu sawa jamii ibadili mtazamo
 
Bar maid...a woman who serves drinks in a bar. Kwani hili jina ambalo linaeleza kazi yao halina staha?
Kuna mmoja nimemuita kachukia, wakt bar maids lina staha zaidi ya chochote, nikamuambia mfanyakazi wa nyumbani ni house maid, bado anakasirikia.....
 
mdada wa ndani ni maid au officiall Housemaid sema tatizo Stereotypical idea iliyopo kwenye jamii kuwachukulia kua Barmaid wote ni whore ambacho kitu sio sahihi wakiume tunaitwa Bar tender et wakike Barmaid wakati vyote ni vitu sawa jamii ibadili mtazamo
Kwahio tatizo sio jina ni perception za watu.
 
A Rose by any other Name, Still Smells as Sweet....
 
Back
Top Bottom