Yoda JF-Expert Member Joined Jul 22, 2018 Posts 48,475 Reaction score 70,102 Mar 13, 2025 #1 Kabla ya ujio wa Julian calendar 46 BC watu wa zamani walikuwa wanatumia calendar ipi? Miaka ilikuwa inahesabiwa vipi enzi za Biblia ya agano la kale? Walioishi miaka 900 ni kwa kutumia calendar ya miezi 12 au tofauti?
Kabla ya ujio wa Julian calendar 46 BC watu wa zamani walikuwa wanatumia calendar ipi? Miaka ilikuwa inahesabiwa vipi enzi za Biblia ya agano la kale? Walioishi miaka 900 ni kwa kutumia calendar ya miezi 12 au tofauti?
Choosen85 JF-Expert Member Joined Jun 22, 2022 Posts 1,143 Reaction score 2,475 Mar 13, 2025 #2 Ndan biblia soma ipo miez kbs mfano nisan ni mwez wa 3 upo mle na tarehe za biblia sku zlikuwa sawa kbs.
Ndan biblia soma ipo miez kbs mfano nisan ni mwez wa 3 upo mle na tarehe za biblia sku zlikuwa sawa kbs.