Uzuri wangu huwa nina radars za kudetect bs from 10,000 miles away. Yaani nilisha i count off Clouds FM miaka kibao iliyopita.
Wala sishangai kuona mtangazaji wa radio hii anavaa hicho kivazi, kujiaibisha kwa kuandika "AM VERY HAPPY" etc etc. Halafu the nerve ! Get an English course already before even dreaming of running for parliament.
Kama mkuu anavyosema hapo juu, kama huyu dada hana sifa za utangazaji wa radio ya kweli (obviously) hata kama si yatima chances are amepata kazi kwa kujikomba na kufanywa chakula ya watu. Hawa ndio watu wenye chances za kupata ubunge bongo.
Wengine ndio hao kina Shigongo type (nasikia kapita) Mo Dewji na Nyalandu na Shyrose type.
Ndiyo maana mara nyingine hata kama nampinga January Makamba kwa kusema "Amillion flies eat shyt, they can't be wrong" akiwalinganisha watanzania na amillion flies, naona at least yeye anamjua Dag Hammarskjöld, na at least hawezi kuandika "AM VERY HAPPY". Not that I am entirely satisfied with him either, lakini kama mtu unapewa kuchagua huyu na huyo unaweza kuchagua the lesser of two evils, of course kungekuwa na mgombea wa upinzani anayeeleweka ingekuwa even better