Zamaradi Mketema awa mtangazaji wa kwanza kuingia Wasafi TV/Radio

Nimerudia tena kuisoma hiyo post ambayo jamaa alikuwa anatoa taarifa tu. Sijaona ushamba wala Umbwigira katika post hiyo. Hebu funguka zaidi ili watu wakuelewe labda kuna unayoyajua zaidi wengine hatuyajui.
[emoji106]
 
[emoji106]
 
Wamempiga Ruge panapouma.

Ila na hii gear waliyoingia nayo wakifail halafu clouds ikaendelea kama kawaida wataaibika sana na itakuwa anguko la mziki wa wasafi,the have to make sure hawachemki
Ninani aliekwambia kwamba wasafi. Imekuja kuuwa cloudz FM ?
Wasafi itasimama kama wasafi
Nami naitakia kila LA Heri. Wasafi TV & redio
 
Kama ningelikua MTU WA Katibu Na diamond ningemuambia amsahili. Lilommy huyu no kati WA wandishi ninaowakubali sana katika maisha Na anaejua kumfanyia NTU intaview ndio Namba one kwangu

Kwa upande WA michezo namshauri anyone. Edo kumwembe awe top WA kupanga wachambuzi WA mpira WA miguu namkubali sana. Akifanikiwa kwa hill juwa atakuwa AME win
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…