Zamaradi Mketema na Ray C warushiana maneno Instagram kisa ni penzi la Ruge!

Na Dina Marios naye ni mjamzito sijui mimba ya nani tena wa hapo mjengoni maana wadada wa hapo wanazungukana humo humo ndani. Mwenge hauvuki kijiji!
 
Huyo zama atulie ray c wa long time amesahau fina mango amekaa na ruge miaka saba akaona hapaeleweki kasepa zake

Uporo hauchachi ukiwa kwenye jokofu hata miaka mia ndio ray c kakumbuka kiporo

Hawala hana talaka na mtalaka hatongozwi
 
Ukiona hivyo huna kisu kikali samahani lkn
 
Wakuu mbona hakuna sehemu inayoonesha Zamaradi amemtaja Ruge??!naona ni Ray C tu ndio analia lia,huyo teja nae mara hii ameshaanza kuparamia wanaume,ngoja uludi ulipotoka wakipitisha bakuli hatumchangii

Hapo awali ulimchangia?
 
Na Dina Marios naye ni mjamzito sijui mimba ya nani tena wa hapo mjengoni maana wadada wa hapo wanazungukana humo humo ndani. Mwenge hauvuki kijiji!

Heeeh!!!!
Dina mjamzito?
Na hiyo mimba mhusika ni wa hapo hapo mjengoni???
 
wawandalie mpambano wa ngumi wazichape live mshindi ndio ataondoka na Ruge
 
Zama mswahili jamani.........halfu mtoto wake aliozaa na rughe magzeti ya shigongo

hawajui maana wameikaushia kimya kimya wakati ni full udaku.....
me mwenyewe nilitaka nishangae kama hii habari shigongo hana,kumbe kaamua kuipotezea
 
Wote hao ni vichwa maji tuu ni ngumu kujua nani mgonjwa nani mzima, japo kila mmoja anajaribu kuonesha yeye mzima mwenzie mgonjwa.

Wote hao ni wa kuhurumia tuu.

mkuu hii ni aibu kwa watu wazima na akili zao kuchafuana ktk mitandao ya kijamii...........nakubaliana na wewe wote hao ni wagonjwa.
 
Na wewe acha kujishaua hapa,kama huwajui kaa kimya kwani hawana faida kwako
tehhehe mkuu nimeshika ugali wako/unapolia???????????????? mbona povu limekuruka hivyo.?? ila tukiachana na hayo, nimepata jibu ubongo, mwili, na fikra zako zinawakilishwa fika na avatar yako!!!!! hongera sana:clap2: kwa kuwa na faida na wahusika ambao nilikuwa siwajui.
 
Umbea mtamu jamani acheni maskhara ila mi nikizipta hizo fursa naondoka na,Ray mambo yake nayajua mie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…