Zambia anafungwa na Morocco , Tanzania tunamfunga Congo, bado tuna nafasi kubwa tu

Zambia anafungwa na Morocco , Tanzania tunamfunga Congo, bado tuna nafasi kubwa tu

Wamamba

Senior Member
Joined
Jan 5, 2024
Posts
125
Reaction score
235
Salaam

Imani bado tunayo na ni kubwa mno, makosa tumeyaona na tunaenda kuyafanyia kazi na hatuna haja ya kuwalaumu wachezaji kwani ni sehemu tu ya mchezo na kawaida kwenye mashindano yoyote yalee

Tunapita hatua ya makundi Tanzania bila shaka yeyote

Ilikuwa tusipewe furaha leo na tupewe furaha kubwa mechi ya mwisho, ni bora furaha mwishoni kuliko kufurahi leo alaf kutolewa kwa kufungwa mechi ya mwisho

Nafasi bado tunayo, tuendelee kuiombea timu yetu pendwa TAIFA STARS [emoji1241]

Picha haina uhusiano na ushindi wetu wa J5

Adjustments.jpg
 
Salaam

Imani bado tunayo na ni kubwa mno, makosa tumeyaona na tunaenda kuyafanyia kazi na hatuna haja ya kuwalaumu wachezaji kwani ni sehemu tu ya mchezo na kawaida kwenye mashindano yoyote yalee

Tunapita hatua ya makundi Tanzania bila shaka yeyote

Ilikuwa tusipewe furaha leo na tupewe furaha kubwa mechi ya mwisho, ni bora furaha mwishoni kuliko kufurahi leo alaf kutolewa kwa kufungwa mechi ya mwisho

Nafasi bado tunayo, tuendelee kuiombea timu yetu pendwa TAIFA STARS [emoji1241]
Tokaaaa
 
Salaam

Imani bado tunayo na ni kubwa mno, makosa tumeyaona na tunaenda kuyafanyia kazi na hatuna haja ya kuwalaumu wachezaji kwani ni sehemu tu ya mchezo na kawaida kwenye mashindano yoyote yalee

Tunapita hatua ya makundi Tanzania bila shaka yeyote

Ilikuwa tusipewe furaha leo na tupewe furaha kubwa mechi ya mwisho, ni bora furaha mwishoni kuliko kufurahi leo alaf kutolewa kwa kufungwa mechi ya mwisho

Nafasi bado tunayo, tuendelee kuiombea timu yetu pendwa TAIFA STARS [emoji1241]
Ndoto nyingine tamu Sana sana! Halafu tunabeba Mabango ya Nani kama Samia
 
Salaam

Imani bado tunayo na ni kubwa mno, makosa tumeyaona na tunaenda kuyafanyia kazi na hatuna haja ya kuwalaumu wachezaji kwani ni sehemu tu ya mchezo na kawaida kwenye mashindano yoyote yalee

Tunapita hatua ya makundi Tanzania bila shaka yeyote

Ilikuwa tusipewe furaha leo na tupewe furaha kubwa mechi ya mwisho, ni bora furaha mwishoni kuliko kufurahi leo alaf kutolewa kwa kufungwa mechi ya mwisho

Nafasi bado tunayo, tuendelee kuiombea timu yetu pendwa TAIFA STARS [emoji1241]
Nchi hii unajua kila kitu ni cha kuombea mpaka mpira. Je juhudi zetu ni zipi ?
 
Salaam

Imani bado tunayo na ni kubwa mno, makosa tumeyaona na tunaenda kuyafanyia kazi na hatuna haja ya kuwalaumu wachezaji kwani ni sehemu tu ya mchezo na kawaida kwenye mashindano yoyote yalee

Tunapita hatua ya makundi Tanzania bila shaka yeyote

Ilikuwa tusipewe furaha leo na tupewe furaha kubwa mechi ya mwisho, ni bora furaha mwishoni kuliko kufurahi leo alaf kutolewa kwa kufungwa mechi ya mwisho

Nafasi bado tunayo, tuendelee kuiombea timu yetu pendwa TAIFA STARS [emoji1241]
Congo Ipi unayoizungumzia?,,🤔
 
Salaam

Imani bado tunayo na ni kubwa mno, makosa tumeyaona na tunaenda kuyafanyia kazi na hatuna haja ya kuwalaumu wachezaji kwani ni sehemu tu ya mchezo na kawaida kwenye mashindano yoyote yalee

Tunapita hatua ya makundi Tanzania bila shaka yeyote

Ilikuwa tusipewe furaha leo na tupewe furaha kubwa mechi ya mwisho, ni bora furaha mwishoni kuliko kufurahi leo alaf kutolewa kwa kufungwa mechi ya mwisho

Nafasi bado tunayo, tuendelee kuiombea timu yetu pendwa TAIFA STARS [emoji1241]
Taifa stars kushinda hadi mama kizimkazi aache kujihusisha na timu wakati wa mechi. Asubiri hadi wafike angalau robo fainali.
Hii ya ahadi yangu iko pale pale inawapa presha wachezaji
 
Salaam

Imani bado tunayo na ni kubwa mno, makosa tumeyaona na tunaenda kuyafanyia kazi na hatuna haja ya kuwalaumu wachezaji kwani ni sehemu tu ya mchezo na kawaida kwenye mashindano yoyote yalee

Tunapita hatua ya makundi Tanzania bila shaka yeyote

Ilikuwa tusipewe furaha leo na tupewe furaha kubwa mechi ya mwisho, ni bora furaha mwishoni kuliko kufurahi leo alaf kutolewa kwa kufungwa mechi ya mwisho

Nafasi bado tunayo, tuendelee kuiombea timu yetu pendwa TAIFA STARS [emoji1241]
Toka hapa (in dotto magari voice)
 
Back
Top Bottom