Kafrican
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 7,251
- 7,037
Hizi video mbili zinaonyesha hatua zinazochukuliwa na KDF/AMisom kutayarisha wasomali kuanza kujilinda wenyewe wakati mission ya Amisom itafika kikomo December 2021....
Somali inahitaji polisi 32,000 kulinda nchi, kwa sasa wako only 10,000.... Zambia, Ghana, Nigeria, Sierra Leone i.e nchi jasiri, zimetuma Police experts kusaidia Kenya na Uganda kufikisha hio 32,000 by 2021...
Mbali na hapo KDF pia inajenga barabara za murram ili kuwezesha majeshi ya somalia kushika doria maeneo yote, pia kuna hospitali za level 2 zilizojengwa na KDF na zinatumika kufundisha wanafunzi wa kisomali kua madaktari, Hizo hoospitali za level 2 zinakaa nzuri kuliko hizi zetu, labda KDF wakimaliza huko waje kijiji chetu manake hii ya kwetu hawawezi kutibu kama umepigwa risasi au minor surgery, mbali na hapo pia kuna kazi za administrative ..etc
Bonus pic, KDF on the outskirts of Kismayu.... Alshabaab walipiga marufuku kuogelea/kujivinjari baharini kwahivyo hata kuogelea baharini unahitaji ulinzi mkali
Somali inahitaji polisi 32,000 kulinda nchi, kwa sasa wako only 10,000.... Zambia, Ghana, Nigeria, Sierra Leone i.e nchi jasiri, zimetuma Police experts kusaidia Kenya na Uganda kufikisha hio 32,000 by 2021...
Mbali na hapo KDF pia inajenga barabara za murram ili kuwezesha majeshi ya somalia kushika doria maeneo yote, pia kuna hospitali za level 2 zilizojengwa na KDF na zinatumika kufundisha wanafunzi wa kisomali kua madaktari, Hizo hoospitali za level 2 zinakaa nzuri kuliko hizi zetu, labda KDF wakimaliza huko waje kijiji chetu manake hii ya kwetu hawawezi kutibu kama umepigwa risasi au minor surgery, mbali na hapo pia kuna kazi za administrative ..etc
Bonus pic, KDF on the outskirts of Kismayu.... Alshabaab walipiga marufuku kuogelea/kujivinjari baharini kwahivyo hata kuogelea baharini unahitaji ulinzi mkali