Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Ofisa mmoja wa polisi nchini Zambia, Titus Phiri amekamatwa kwa kosa la kulewa akiwa kazini na kuwaachia huru watuhumiwa 13 na yeye mwenyewe kukimbia.
Watu hao walikuwa wakituhumiwa kwa makosa mbalimbali ikiwemo wizi, ujambazi na mashambulizi.
Msemaji wa Polisi, Rae Hamoonga amesema Desemba 31, 2024 katika Kituo cha Polisi cha Cheelo jijini Lusaka, Inspekta Titus Phiri aliyekuwa amelewa, alichukua kwa nguvu funguo za vyumba husika kutoka kwa askari mwingine.
Kisha, inspekta huyo aliwafungulia watuhumiwa huku akiwaambia, "mpo huru kwenda kuupokea mwaka mpya".
Kati ya watuhumiwa 15, waliotoroka ni 13 na msako wa kuwatafuta unaendelea.
Soma, Pia:
• Zambia: Waganga wakamatwa kwa jaribio la kutaka kumroga Rais Hichilema
• Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu azuiliwa kugombea tena Urais uchaguzi wa mwaka 2026
==
A police officer in Zambia has been arrested for allegedly releasing over a dozen prisoners so they could celebrate New Year’s Eve.
Detective Inspector Titus Phiri “forcibly seized cell keys” on Tuesday morning whilst “in a state of intoxication,” Zambia’s Police Service said in a press release on Wednesday.
“Subsequently, (Phiri) unlocked both the male and female cells and instructed the suspects to leave, stating they were free to cross over into the New Year,” the police statement said.
A manhunt has been launched for 13 detainees who remain at large, according to the police statement. Some had been facing allegations of assault and theft among other crimes, it said.
“The Zambia Police Service reiterates its commitment to upholding law and order and assures the public that decisive action will be taken against any officer found to be abusing their authority or acting contrary to the law,” it added
Watu hao walikuwa wakituhumiwa kwa makosa mbalimbali ikiwemo wizi, ujambazi na mashambulizi.
Msemaji wa Polisi, Rae Hamoonga amesema Desemba 31, 2024 katika Kituo cha Polisi cha Cheelo jijini Lusaka, Inspekta Titus Phiri aliyekuwa amelewa, alichukua kwa nguvu funguo za vyumba husika kutoka kwa askari mwingine.
Kisha, inspekta huyo aliwafungulia watuhumiwa huku akiwaambia, "mpo huru kwenda kuupokea mwaka mpya".
Kati ya watuhumiwa 15, waliotoroka ni 13 na msako wa kuwatafuta unaendelea.
Soma, Pia:
• Zambia: Waganga wakamatwa kwa jaribio la kutaka kumroga Rais Hichilema
• Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu azuiliwa kugombea tena Urais uchaguzi wa mwaka 2026
==
A police officer in Zambia has been arrested for allegedly releasing over a dozen prisoners so they could celebrate New Year’s Eve.
Detective Inspector Titus Phiri “forcibly seized cell keys” on Tuesday morning whilst “in a state of intoxication,” Zambia’s Police Service said in a press release on Wednesday.
“Subsequently, (Phiri) unlocked both the male and female cells and instructed the suspects to leave, stating they were free to cross over into the New Year,” the police statement said.
A manhunt has been launched for 13 detainees who remain at large, according to the police statement. Some had been facing allegations of assault and theft among other crimes, it said.
“The Zambia Police Service reiterates its commitment to upholding law and order and assures the public that decisive action will be taken against any officer found to be abusing their authority or acting contrary to the law,” it added