Zambia to ship Kenya’s maize by rail

Tunachakula cha kutosha kilima nyege wewe wavivu nyinyi ambao njaa kila mwaka na hamjifunzi basda ya kulima mahindi mnalima chai kunyweni chai mlale sasa mnabisha hodi ya nini kuomba msaada kenge nyinyi hebu msituchoshe
Sorry, went to prepare the rice....[emoji2]

Kila mwaka ripoti ya Wfp/Fao hutoa picha hii...



Sijui 2016/17 kutakuwaje?
 
Haha, ni pale unapokuwa na fikra potofu kwamba hela inaweza kuhamisha mlima. Mara nyingine neno "Samahani" au "Tafadhali" linaweza kuwa na thamani kubwa kuloko hela za karatasi.
 
Sorry, went to prepare the rice....[emoji2]

Kila mwaka ripoti ya Wfp/Fao hutoa picha hii...



Sijui 2016/17 kutakuwaje?
Haohao WFP/Fao wanakuja kuchukua mahindi kupeleka kwenye njaa kama kenya na nchi nyinginezo

Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
 
Mmmmh hujapiga mswaki mwezi mzima wewe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unga huna dawa ya meno utakuwa nayo kweli
Wewe,mimi bado natumia Whitedent!Kama nakumbuka vizuri tunaipata kutoka hapa hapa Namanga kwa hiyvo kuwa mpole!🙂🙂Umeonywa!🙂
 
Wewe nawatoto wako 6 mchana na usiku hiyo alafu unga hamna. Wewe jamaa afadhali ungepangiwa overtime uendeleee kushusha chai toka shambani kiazi weee

Duh! Maadam ningejaliwa na watoto wengi hivyo!

Single man here. Save yourself and that beautiful, hungry sister of yours from this indignity. Give me your siz (if she is beautiful and english speaking, that is) and I promise u, I will be paying u a monthly stimped to cater for your food needs.
 
Uliitengeneza tanzania au ulijikuta upo tanzania?

Mzigo wa ujinga unakuelemea kijinga kabisa.
 
Huwezi kuoa wewe labda uolewe panda treni uende mombasa haraka mchicha mwiba wewe
 
Uliitengeneza tanzania au ulijikuta upo tanzania?

Mzigo wa ujinga unakuelemea kijinga kabisa.
Haha, kaka punguza stress [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
If you've anything to argue about bring on sunshine, otherwise songa kando.
Ubishi wa nini na mahindi mmeshapata zambia!
Pia ni kweli mtapitisha mahindi yenyu hapa tanzania.
Pia ni kweli Azam atawaleteeni shehena ya mizigo yenyu.
Mlimuwekea zenggwe Azam kwenye ngano yake huu nao ni ukweli mwingine.

Mna roho mbaya sana nyie wakenya, nayo ni ukweli.
 
Baba, umeingia cha kike, mimi ni mtanzania pyeeeeee....
 
Mkuu bado una kamba mguu nn kwenye hili jukwaa,Mwanzi1 ni mbongo anayewapa dozi ya merthadone kisawa sawa hawa mungiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…