Attitude yake towards me imenielekeza kuwa huyu member ana damu ya pande za Limuru.Mkuu bado una kamba mguu nn kwenye hili jukwaa,Mwanzi1 ni mbongo anayewapa dozi ya merthadone kisawa sawa hawa mungiki
Siyo kila kitu lazima ujibu.Altitude yake towards me imenielekeza kuwa huyu member ana damu ya pande za Limuru.
Fuatilia tunachokilumbania utagundua.
Joseverest ndio hujibu kila kitu.Siyo kila kitu lazima ujibu.
Altitude yake towards me imenielekeza kuwa huyu member ana damu ya pande za Limuru.
Fuatilia tunachokilumbania utagundua.
hahahaAltitude ndio nini?
bad choice...should have shipped it through Mombasa port...
Hehehe mlipiga makelele na kutunisha misuli wakati nyie maskini tu mnasaka hela. Eti tununue unga kutoka kwenu.
Hela tunazo hivyo tutanunua popote pale na tunanunua tunachotaka kwa muda tunaotaka.
Altitude yake towards me imenielekeza kuwa huyu member ana damu ya pande za Limuru.
Fuatilia tunachokilumbania utagundua.
Auto correctionAttitude.....
MwinukoAltitude ndio nini?
Wanaweza kupita beira port to msa.Jamani, tukiwaambia Tanzania is the center of gravity wakenya mnakataa. Mmejaribu kupita Congo mmeshindwa, Mai-Mai wangekula mahindi yote na wasiwape hata maganda. Sasa mnamtumia Zambia ndio aje aombe njia. MK254 njoo hapa ukubali kama Baba wa EAC ni Tanzania?
Wanaweza kupita beira port to msa.
hii ni chance yetu tumekosa.
kilimo hatukitilii mkazo maneno mengi.
ton 100,000 na sukari tungesafirisha.
tuna ardhi kubwa kuliko zambia
tuna maji mengi kuliko zambia...ila tuna uchoyo na roho kuchu..watu wakitaka kulima wananyanganywa mashamba yao.
zimbabwe ilikuwa ndio food basket ya afrika. Ikawanyanganya wazungu wazimbabwe mashamba yao.
leo wale wazungu ndo walokwenda zambia na mugabe na njaa yake ananunua huko zambia.
tradional kenya ardhi haitoshi hivo mara nyingi wanaagiza chakula hasa mahindi.
tutumie fursa hio kufanya biashara tuache siasa za kijinga jinga hizi ...
Sio kama tuneshidwa kulima au hatuna chakula cha kutosha mpaka kuwauzia hao wakenya. Hii ni vita baridi iliyoamzishwa na hao hao wakenya, wamemwaga mboga sisi tumemwaga ugali.Wanaweza kupita beira port to msa.
hii ni chance yetu tumekosa.
kilimo hatukitilii mkazo maneno mengi.
ton 100,000 na sukari tungesafirisha.
tuna ardhi kubwa kuliko zambia
tuna maji mengi kuliko zambia...ila tuna uchoyo na roho kuchu..watu wakitaka kulima wananyanganywa mashamba yao.
zimbabwe ilikuwa ndio food basket ya afrika. Ikawanyanganya wazungu wazimbabwe mashamba yao.
leo wale wazungu ndo walokwenda zambia na mugabe na njaa yake ananunua huko zambia.
tradional kenya ardhi haitoshi hivo mara nyingi wanaagiza chakula hasa mahindi.
tutumie fursa hio kufanya biashara tuache siasa za kijinga jinga hizi ...
Sio kama tuneshidwa kulima au hatuna chakula cha kutosha mpaka kuwauzia hao wakenya. Hii ni vita baridi iliyoamzishwa na hao hao wakenya, wamemwaga mboga sisi tumemwaga ugali.
Where do you prefer the cargo to be shipped "from" to Mombasa? The train from Zambia to Dar and ferry to Mombasa is the shortest route on the table.
That was suggestion from Zambia if they want the cargo to get into Kenya quicker (under two days). Train from Zambia to Dar, less than 12hrs, ship from Dar to Mombasa less than 6hrs. If you use road even through Tanzania it will take longer than that (three day or more). Other routes deem to be expensive, Mozambique or Congo has security issues, South Africa is just too far and that will be translated into cost......is Mombasa the destination point for this cargo!!? Your hypothesis is valid only if the answer is "yes" in my question!
Povu lote hili unalimwaga hapa JF la nini? Si ungemwaga huko kwenye kampeni za Jubilee uwasaidie kushinda uchaguzi.Wapi!!! Uzembe tu na kutotumia akili, uwezo huo wa kutunisha misuli hamjafikia maana nyie ni nchi maskini ndani ya LDC, asilimia kubwa mnaishi chini ya kiwango cha umaskini, sasa mtaweza vipi kujibaraguza. Ukweli ni kwamba hamuna mahindi ya kutosha hivyo imewalazimu kuwafungia wakulima wasiuze nje na wawauzie nyie kwenye bei ya kawaida na kuwalemaza zaidi.
Unga hatuuzi tena, tunauza ugali na uji[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hehehe mlipiga makelele na kutunisha misuli wakati nyie maskini tu mnasaka hela. Eti tununue unga kutoka kwenu.
Hela tunazo hivyo tutanunua popote pale na tunanunua tunachotaka kwa muda tunaotaka.
Half of kenyans live under extremely povertyWapi!!! Uzembe tu na kutotumia akili, uwezo huo wa kutunisha misuli hamjafikia maana nyie ni nchi maskini ndani ya LDC, asilimia kubwa mnaishi chini ya kiwango cha umaskini, sasa mtaweza vipi kujibaraguza. Ukweli ni kwamba hamuna mahindi ya kutosha hivyo imewalazimu kuwafungia wakulima wasiuze nje na wawauzie nyie kwenye bei ya kawaida na kuwalemaza zaidi.
Yaani ninyi ni matajiri na sisi ni masikini kiasi hicho! Inawapasa mshukuru kuwa Wazambia tunawaheshimu na ni marafiki zetu wa kweli, vinginevyo mahindi yanfeputia bandari ya Durban ili matajiri wa Kenya myanunue kwa bei kama vile yanatoka sayari ya Mars.Hehehe mlipiga makelele na kutunisha misuli wakati nyie maskini tu mnasaka hela. Eti tununue unga kutoka kwenu.
Hela tunazo hivyo tutanunua popote pale na tunanunua tunachotaka kwa muda tunaotaka.