Zambia yaridhia kufanyika kwa biashara ya bangi

Zambia yaridhia kufanyika kwa biashara ya bangi

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
Serikali ya Zambia imehalalisha kilimo cha bangi kwa sababu za kiuchumi na tiba.

Kwa hatua hiyo, taifa hilo linakuwa la hivi karibuni kabisa katika kuridhia matumizi ya bangi. Kwa mujibu wa taarifa ya msemaji mkuu wa serikali ya Zambia, Dora Siliya, idhini ya kufanya biashara ya bangi ilitolewa na kikao maalumu cha baraza la mawaziri kilichoketi Desemba 4.

Hata hivyo bado haijaweza kuwa wazi kama matumizi ya bangi kwa sababu za kitabibu nchini humo pia yamehalishwa.

Taifa hilo lililokusini mwa Afrika linajiunga na mataifa mengine ambayo yamehalalisha bangi au kuzingatia matumizi wa mmea huo kwa tiba, ikiwa na kusudio la kujinufaisha kibiashara.
 
Serikali ya Zambia imehalalisha kilimo cha bangi kwa sababu za kiuchumi na tiba. Kwa hatua hiyo, taifa hilo linakuwa la hivi karibuni kabisa katika kuridhia matumizi ya bangi.

Kwa mujibu wa taarifa ya msemaji mkuu wa serikali ya Zambia, Dora Siliya, idhini ya kufanya biashara ya bangi ilitolewa na kikao maalumu cha baraza la mawaziri kilichoketi Desemba 4.

Hata hivyo bado haijaweza kuwa wazi kama matumizi ya bangi kwa sababu za kitabibu nchini humo pia yamehalishwa.

Taifa hilo lililokusini mwa Afrika linajiunga na mataifa mengine ambayo yamehalalisha bangi au kuzingatia matumizi wa mmea huo kwa tiba, ikiwa na kusudio la kujinufaisha kibiashara.
 
mi napenda na huwa nakunywa sana juice yake, hiii hapaaa, ukiwa job wafanya kazi vizuri upatapo pafu moja

pcha.jpeg
 
Serikali yetu itusikilize kilio chetu ihalalishe mmea mtukufu mambo yakaa sawa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Zao Hili lina faida nyingi sana kwa kutibu maradhi na pia wajanja wamejiongeza sana na kufaidika sana kama India ambapo wanauza udi wa mbange mpaka Ulaya
IMG_1704.jpg



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Back
Top Bottom