At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,533
- 3,595
Tatizo Wabongo tunasahau mapema... Matatizo ya Manji simba Walifurahia kwa nini ya Mo tuhuzunike hapana... Kuishi karibu na makaburi hakukufanyi kila msiba ulie.Daaa!!! Sio wewe tu ukipita mitaa mingi utakuta ndala wanafurahia sana kwa tukio lililotokea. Wameacha ubinadamu pembeni sasahiv wanaombea Simba iwe sawa na walivyo wao kiuchumi.
Awake atekwe...Kumbuka kabla ya mo kuichukua simba baharesa alikua akitamani kuweka hisa zake
sheria haiwezi kuruhusu umiliki wa timu mbili kwenye ligi moja...nendeni TCRA mkachukue namba kwa ajili ya michango...naona Manara atakuwa anatamka namba huku analia..Dismas atachekaa Manji karudi juzi timu imelala Hotel Verde Zanzibar..usidharau dafu embe tunda la msimuKumbuka kabla ya mo kuichukua simba baharesa alikua akitamani kuweka hisa zake
Mkuu mlivyofurahia kwa Manji mara hii mshasahau?Tukiombeana, njaa, kwa mtindo huu wa kuwateka wanasaodia vilabu, nchi haitakalika.
Jali utu wa mtu kwanza, sioni sababu Ya nyie kufurahia hali hii. Mo halionyesha njia kwenye soka letu, yeye alianza kupitia Simba, mwingine angefuata kupitia Yanga.
Alafu ya Manji yalikua nafuu, alikua anajulikana yupo wapi, sasa huyu hajulini, kama sababu ni hiyo bora mumlazimishe aachane na kuisaidia Simba, Mumuachie Uhai wake na uhuru wake.
Mlivyo shangilia Manji Leo mnataka wote tuhuzunike.Kama kuna mtu anafurahia hili lililomtokea MO basi mtu huyo ni mpumbavu!!!