Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,557
- 1,787
Baada ya Udsm sasa ni IFM kumng'oa rais na BAATHI ya viongoz wa mpito ambao walipewa wiki 3 za kuongoza ili kupisha uchuaguz mpya baada ya kesi ya kupinga uchaguz kuisha!
1.Ametumia sh milioni 30 ndani ya wiki 3!!
2.Hataki kuondoka apishe uchaguzi mpya wakati aliteuliwa kw muda.
3.Amefukuza robo 3 ya viongoz wake baada ya kuhojiwa na kushauri muda wa kuongoza umisha waondoke,ye hataki!
Na mengine wengiiiii kibao,mpaka aibu!!
Daima pamoja, tu mtoe!
1.Ametumia sh milioni 30 ndani ya wiki 3!!
2.Hataki kuondoka apishe uchaguzi mpya wakati aliteuliwa kw muda.
3.Amefukuza robo 3 ya viongoz wake baada ya kuhojiwa na kushauri muda wa kuongoza umisha waondoke,ye hataki!
Na mengine wengiiiii kibao,mpaka aibu!!
Daima pamoja, tu mtoe!