Action and Reaction
JF-Expert Member
- Oct 16, 2021
- 1,438
- 1,496
Bora ije ng'ombe ye abaki
Where we dare to talk openly, [emoji16][emoji16][emoji23]Habari niliyoiona live bila chenga usiku wa jana..... niliota Mayele akiwa amevaa uzi mwekundu ulioandikwa NGUVU MOJA... aisee niliruka juu, ile naruka kumbe niko kitandani, sema tu mkewangu kasafiri mana ningekula kofi.... ila inawezekana kwani nimewapa Fumbo hilo! .....
Simba hamjiamini kama mtafanya vizuri bila mayele ndiyomaana mnalala mnamuota mayele 🤣🤣🤣Inawezeka,si unajua injinia uwa anawasainisha mikataba ya miezi mitatu mitatu.
Mkuu , pamoja na kwamba wewe ni lnzitopolo bado tu hujui kinachoendelea Kati ya mayele na mmasai?. Mayele keshatolewa mahari na wamasai .Acha kuchezea nkima ya mtu . Nkima ya mtu ni sumu.Habari niliyoiona live bila chenga usiku wa jana..... niliota Mayele akiwa amevaa uzi mwekundu ulioandikwa NGUVU MOJA... aisee niliruka juu, ile naruka kumbe niko kitandani, sema tu mkewangu kasafiri mana ningekula kofi.... ila inawezekana kwani nimewapa Fumbo hilo! .....
Mbona tupo wanawake wengi tu tunao watembezea kichapo cha kisharubela (in Genta popoma's voice) waume zetu na wala haturingi[emoji847][emoji847]Aiseee mke huwa anakulamba kofi daah
Bangi / Bange tulizovuta Sisi zamani zilitupa sana Akili Kubwa, ila hizi mnazovuta leo zinawaongezeeni tu Upumbavu ( Upopoma ) wenu kama huu.Habari niliyoiona live bila chenga usiku wa jana..... niliota Mayele akiwa amevaa uzi mwekundu ulioandikwa NGUVU MOJA... aisee niliruka juu, ile naruka kumbe niko kitandani, sema tu mkewangu kasafiri mana ningekula kofi.... ila inawezekana kwani nimewapa Fumbo hilo! .....
Limetuabisha sana hiliAiseee mke huwa anakulamba kofi daah
Kwa hiyo dada huwa unampiga shemeji?Mbona tupo wanawake wengi tu tunao watembezea kichapo cha kisharubela (in Genta popoma's voice) waume zetu na wala haturingi[emoji847][emoji847]
Nasikia ile Ngombe ya iko kufa na utapiamloKitendo cha kuruka hivyo kumbe hata nyie makolo mnamkubali sana Yele.
Haya sasa kusanya wenzio wote mtandaoni hapa waambie Yele ni kiboko. Waambie kwa ujumla wenu mseme mara 3 hivyo.
Yes Sir! I will do itKitendo cha kuruka hivyo kumbe hata nyie makolo mnamkubali sana Yele.
Haya sasa kusanya wenzio wote mtandaoni hapa waambie Yele ni kiboko. Waambie kwa ujumla wenu mseme mara 3 hivyo.