Wa na MMU na hasa wale mliopo ama mna asili ya kanda ya nyanda za juu kusini...........tumempoteza mwenzetu Zamoyoni Ngede, mtangazaji wa redio Country FM inayorusha matangazo yake kutoka mjini Iringa.
Nimepokea ujumbe muda si mrefu..............nitaendelea kuwajuza taarifa kamili;
Kwa ufupi ni kwamba Le Capitein alilazwa katika hospitali ya mkoa wa Iringa akisumbuliwa na vidonda kooni na kwa siku tatu nyuma amekuwa hawezi kuongea wal kula mpka umauti ulivyomfika.
Mungu aipumzishe roho yake mahli pema peponi!
kwa wanaharakati...........zange aliwahi kufanya mahojiano na wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi wakati wa uchaguzi ulipita pale mjini Iringa.
Mungu uturehemu vijana, shetani katuweka kwenye target yake na anatudungua ipasavyo.
Ngoma a.k.a Alshabab inatunyemelea, bodaboda zinatunyemelea, polisi wa kikwete wanaoua raia wasio na hatia kila siku wanatunyemelea sisi, majambazi yanatunyemelea, yaani pepo wa mauti anatuwinda ile mbaya.