zanzibar beach boy

BUSARA6

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2007
Posts
357
Reaction score
52
[ame="http://http://www.youtube.com/watch?v=mBbQeW8AwsE&feature=related"]http://http://www.youtube.com/watch?v=mBbQeW8AwsE&feature=related[/ame]
 
Mpangilio na Mkao wa vile vidole anapofafanua jambo wan'tatiza na kun'tia shaka ..nways SFORZA Bichiboi..lol
 
Siwezi kukusaidia zaidi ndg..nimetumia haki yangu ya kikatiba na sheria za JF kusema ninachoona ni sahihi..kama una matatizo na hilo saga vyupa ukoroge mi ntakusaidia kukunyesha.

wewe ndio ukasage vyupa ukoroge unywe, unajifanya haki haki wakati hutaki wengine wa-exercise haki yao!!!
 
tafadhali naomba tuheshimiane. hunifahamu,sikufahamu. usiropoke ropoke tu kama mwehu, sasa dada yako nani?

Kwani kuwa na dada ni kukosa heshime kikwenu.? BTW, Huwezi ukanilazimisha nikuheshimu wakati umeshaniita m'bea..au unataka na mimi nianze kunyesha mvua? Nipo tayari ..
 
Mnaoundeleza hapa ni upumbafu mtupu, kwanini msiwe wastaarabu.
 
Hi sasa itakuwa kazi pevu kila mtu atakekuwepo zanzibar kwa shuhuli yoyote ile ikiwa kutafuta maisha au kimatembezi inakuwa tayari amesha kuwa MZANZIBARI ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…