muggyen
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 347
- 253
Habari zenu wadau
nmesikia tetesi kwamba bidhaa za kieletroniki kama vile simu,laptops,smart tv,game consoles na nyinginezo kwa znz zinauzwa bei rahisi kutokana na ongezeko la uingiaji wa bidhaa hizo kutoka nchi za uarabuni hasa dubai
mwenye kufahamu ukweli juu ya taarifa hizi atujuze wote humu jamvini na hasa kwa kutumia mifano hai
Shukrani
nmesikia tetesi kwamba bidhaa za kieletroniki kama vile simu,laptops,smart tv,game consoles na nyinginezo kwa znz zinauzwa bei rahisi kutokana na ongezeko la uingiaji wa bidhaa hizo kutoka nchi za uarabuni hasa dubai
mwenye kufahamu ukweli juu ya taarifa hizi atujuze wote humu jamvini na hasa kwa kutumia mifano hai
Shukrani