Ebana si unaona profit hiyo huwa unazileta kwa njia ya sanduku sio
Mimi ninampango wa kununua laptops je wapi naweza kupata kwa bei nzuri ili nije niuze bara
Mkuu Muggyen,
Hamna tabu ila sitoweza kukupatia yaani exactly specification ambazo umezitaja zitapanda na kushuka na kawaida na bei hua inapanda pia na kushuka lakini kama unauwezo wa kulipa laki saba basi kwanini usitafute mpya tuu unauwezo wa kupata kwa spec ambazo umezitaja kutoka UK sio china kwasababu kule unapata zaidi ya spec hizo lakini quality.
kila lakheri mkuu
Mkuu Muggyen
Kuhusu laptop ngapi unaweza kununua na specification zako zikoje na bei ya jumla ni ngapi unaweza afford maana siwezi kuuzia moja wala mbili minimum order ni 5 naweza kuagizishia UK lakini nipe specification zako kwanza halafu nitakutumia nilokua nazo kwa saivi pia ni used na kuchukua inabidi uje mwenyewe nitumie email yako pia kwenye PM inshallah ukinijibu tutajua tuanze wapi poa.
Habari zenu wadau
nmesikia tetesi kwamba bidhaa za kieletroniki kama vile simu,laptops,smart tv,game consoles na nyinginezo kwa znz zinauzwa bei rahisi kutokana na ongezeko la uingiaji wa bidhaa hizo kutoka nchi za uarabuni hasa dubai
mwenye kufahamu ukweli juu ya taarifa hizi atujuze wote humu jamvini na hasa kwa kutumia mifano hai
Shukrani