Zanzibar elctronics zinauzwa bei nafuu

muggyen

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
347
Reaction score
253
Habari Zenu wana jf
Kama nlivoweka title hapo juu nmesika ya kuwa znz electronics kama laptop,simu,smart tv na hata game consoles zinauzwa bei nafuu kutokana na influx ya bidhaa hizo kutoka nchi za uarabuni hasa dubai
Je taarifa hizi ni za kweli Kwa wale mnaofahamu undani wa hili Swala
Natanguliza shukrani
Karibuni mchangie mada hii kwa faida ya wana jf wote
 
Yah, ni kweli bidhaa nyingi ZNZ ni rahisi kuliko Bara kutokana na sababu mbalimbali. Lakini mara kadhaa watu wamesumbuliwa Dar sababu ya kubeba vitu toka Znz. Wanalazimishwa kulipia tena ushuru wa forodha. Hapo tu ndipo kwenye usumbufu.
 
Sasa kama vitu vipo kwenye beg lako na wewe umekuja bara kwa meli ushuru huo unaulipia wapi
 
Hahahaha naongelea vitu kama vile laptops,simu na game consoles
 
Kwa hapo hautalipia ushuru wa forodha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…