Zanzibar haijawahi kuingiza shule katika 10 bora katika matokeo kidato cha 4 kwanini?

Magembejr

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2014
Posts
618
Reaction score
75
Wana jamvi sijawahi kuona wala kusikia shule toka znz imeingia ktk ten bora katika matokeo ya ya kidato cha 4 na pia hata sijawah kupata mwanafunzi bora wale kumi toka znz kwanini?
 
Wana jamvi sijawahi kuona wala kusikia shule toka znz imeingia ktk ten bora katika matokeo ya ya kidato cha 4 na pia hata sijawah kupata mwanafunzi bora wale kumi toka znz kwanini?
Wanafunzi wa Zanzibar wanelewa "kiarabu" kiingereza kinachotumika kufundishia sekondari kinawashinda
 
Naona unaleta mada za uchochezi hapa, bado kidogo utasema waislamu hawajawahi kuingiza mwanafunzi katika 10 bora matokeo ya kidato cha nne
 
Wana jamvi sijawahi kuona wala kusikia shule toka znz imeingia ktk ten bora katika matokeo ya ya kidato cha 4 na pia hata sijawah kupata mwanafunzi bora wale kumi toka znz kwanini?

Mimi sielewi sana lakini nadhani wanakuwa viwango vyao tofauti na vya huku bara. ila ni mawazo yangu tu. Halafu nina uhakika kabisa kuwa elimu ya juu si jambo la kimuungano ila secondary si elimu ya juu lakini sijawahi kusikia matokeo yao ebu nguja niangalie kwenye tovuti ya necta
 
uliza shule ngapi za zanzibar zimeingia top 100 ya taifa, kutoka hapo tunaweza kuanza kujadili
 

Hata me nijuavyo kuwa elimu sijambo la muungan
 
muulize waziri wao wa elimu.
Ila wabongo wanasoma bhana hata wanavyoendaga kwenye vyuo nchi za nje maranyingi wabongo ndio wanakuaga best.
 
Kama wazazi wao ndo wazee vilaza kama Mohamed Said hata top 100 hawawezi kuwepo. Pia na ule urojo wanaotumia unalemaza akili.
Ukifuatilia historia ya dunia utagundua pia watu wa visiwani huwa sio bright compared to their bara counterparts
 
Kama wazazi wao ndo wazee vilaza kama Mohamed Said hata top 100 hawawezi kuwepo. Pia na ule urojo wanaotumia unalemaza akili.
Ukifuatilia historia ya dunia utagundua pia watu wa visiwani huwa sio bright compared to their bara counterparts

Hio historia ya Dunia kakuhadithia babu yako!!?

Maandishi yako tu yanaashiria kuwa wewe mtoto wa zinaa! Usie na adabu kabisa kwa wazee!

Sasa kama watu wa bara wanaakili kama zako kuna kitu hapo!!!?

Mnfnssssssssss!

Cc THE BIG SHOW Ritz Boko haram
 
Last edited by a moderator:
Kama wazazi wao ndo wazee vilaza kama Mohamed Said hata top 100 hawawezi kuwepo. Pia na ule urojo wanaotumia unalemaza akili.
Ukifuatilia historia ya dunia utagundua pia watu wa visiwani huwa sio bright compared to their bara counterparts

Mbona ukerewe Kuna vichwa
 
dah we mpumbav kweli.. IQ haiaribiw na urojo.. wacha fikra potof ww..
 
Utoto na kudhani Dunia ilianza pale yeye alipojua kusoma na kuandika. Ila kwa wanaojua, wanakuona mpuuzi tu usiejuwa kitu
 
Hapo umtoa matusi tuuuuu! Hujajibu hoja,,je nikweli wazanzibar wanazingatia sana mafunzo ya quraan na madrasa ndio mana hawajawahi kuwepo hata kwenye top 1000
 
Last edited by a moderator:
tatizo lao wameendekeza ILMU bdala ya ELIMU
 
ckia.. huwezi kucompare watu 2000 na watu 200000.. penye weng kutakua kuna mengi tu, na hiyo historia amesoma kitabu gn na mwaka gn? kabla cjakujib toa evidence ya historia yko unless apologise kwa kauli yako mbovu..
 
hatuhitaji kuwa wa kwanza duniani target yetu ni kuwa wa kwanza kwa Allah, nyie tuburuzeni huku ila tukifika kwa Allah nasi tutawaburuza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…