ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Wazanzibar wakati wanadiscus katiba yao hawakutualika. Sasa nashangaa walivojazana bungeni, kujadili katiba yetu wabara. Mchakato wa serikali ngap ukianza, watauana humo
mtoa elimu ndogo nn? unashndwa kujua knachofanyka bungeni dodoma kinaihusu jamhuri ya muungano wa tanzania?