Hahahaha.
Kama hujui nyamaza kuficha ujuha
Yes.Weeeeeereereeee
Bendera ya Tanganyika ipo?
Wamepigiwa hizo hizo nne kwenye penatiNaona wadau wengi wanamdaganya uyo Zanzibar hero,, leo mechi ya fainali anapigwa goli 4 bila majibu toka kwa kenya.
Chezea wote lakini siyo Kenya kwenye ardhi yake ya nyumbani
Yes.
Up umeitafuta ukaikosa..!?
Nani kakwambia ya Tanzania ya wote...?Pole mkuu
Ulipoenda CECAFA uliituundika ya Tanganyika?
Au Kenya, Zanzibar nawengine walitundika wewe ukatundika ya Tanzania? (ya wote)
Nani kakwambia ya Tanzania ya wote...?
Angalia Kwa makini....
Kisha niambie umeona nini.!?
Acha kuropoka mkuu...weka akiba ya maneno na tumia akili yako kuchambua mambo...usiamini kila ulilofundishwa au kuambiwa...angalia hio picha hapo juu.Kumbe Samia kaja na yakwake Dodoma?
Au anapeperusha ile anayopeperusha shein?
Ama anapeperusha ile kama ya pombe?
Twende taratibu.Ulipokuwa kenya ulikwenda nako au ya wote?
Ambayo samia suluhu anaitumia pia?
Acha kuropoka mkuu...weka akiba ya maneno na tumia akili yako kuchambua mambo...usiamini kila ulilofundishwa au kuambiwa...angalia hio picha hapo juu.
Unataka kujibiwa wakati wewe hujibu...We jibu
Swali acha siasa
Samia anapeperusha ipi?
Twende taratibu.
Hio picha ni ya bendera ya wapi!?
Unataka kujibiwa wakati wewe hujibu...
Lazima tujitofautishe na wana Facebook..kumbuka "we are great thinkers"
Back to question. "baada ya kuiangalia hio picha umeona nini na nini"?
Hahahahah..nilijua tu akili yako fupi kiasi hiki...Ukiambiwa Tanganyika wajinga unabisha
Ulibeba bendera gani natimu yako ulipokuwa kenya?
Wazanzibar walibeba yao....wewe ulibeba ipi
TANZANIA = Tanganyika + zanzibar......ndio uliyobeba ya wote
Be smart and think big
Hahahahah..nilijua tu akili yako fupi kiasi hiki...
Mnajidanganya sana kwamba Ile ni bendera ya wote eeh...
Ngoja nikufafanulie bwege wewe ukawaambie na wenzako.
Ni hivi
Ukiiangalia bendera yenu...pembeni kushoto juu kuna bendera ya taifa la pili mliloungana nalo, je umeliona hilo..!?
Limewahi kukupa shida ukafukiria na kile unachoambiwa...!?
Hiyo unayoiita Tanganyika ndio Tanzania Kwa taarifa yako...nakuhakikishia hata baada ya kuvunjika muungano usitegemee bendera au jina la Tanzania litabadirika.
Anaewaambia mmeungana na tanganyika anawapa taarifa zisizo sahii..sahihi ni Kua mmeungana na Tanzania..
Nasubiria hoja nyingine ya msingi...
Kuhusu wimbo,
Tunaimba wimbo wetu.."Mungu ibariki" kama ambavyo nyinyi mnaimba wenu.
Hahahahahaha najua nakupa nondo ambazo hampendi kukubaliana nazo.
Samahani lakini