Kama sio fitna za muungano wazanzibari wangekuwa kwengine kwa kila kitu na ndio maana kila upande unapowakuta wako vyema na tatizo lao linakuwa ni siasa za tz na viongozi wao sio issues za kiufundi na uwezo, kuna siku nafkir tz itafika kuona haya kwa inayoifanyia hawa jamaa