Elections 2010 Zanzibar inaonekana mambo bado magumu kwa cuf

Elections 2010 Zanzibar inaonekana mambo bado magumu kwa cuf

Bob_Dash

Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
90
Reaction score
13
Nimejaribu kupitia blog ya HAKINGOWI, amejaribu kuweka matokeo ya Urais kutoka katika majimbo kadhaa na inaonesha CCM wanaongoza kwa kishindo, lakini baadhi ya wanachama wa CUF inaonekana kutokuridhishwa na matokeo hayo. Nazidi kutafiti zaidi
 
Back
Top Bottom