Zanzibar: JKU yabaini vyeti fake pamoja na mihuri

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
Zanzibar: Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU) Labaini uwepo wa vyeti fake Mjini magharibi pamoja na mihuri.

Jeshi hilo limebaini sehemu ambapo vyeti fake pamoja na mihuri imebainika, vyeti hivyo na mihuri ni pamoja na Vyeti vya shule (msingi, sekondari na vyuo), vyeti vya ndoa, vyeti vya kugushi vya UVIKO3, vyeti vya kuzaliwa, mihuri ya moto na vyeti mbalimbali.

Jeshi hilo limebaini hayo kwa sababu nafasi zilizo tolewa kujiunga na jeshi zilifanya jeshi hilo kupelekea jeshi hilo kufanya uchunguzi na kubaini uwepo wa vyeti hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…