Ni mkakati wa ACT wazalendo chini ya uongozi wa Maalim Seif Sharif Hamadi na timu yake ya ushindi,amesema hilo halina ubishi wala mjadala ni mazungumzo yalioasisiwa na utekelezaji wake upo mezani.
Jambo ambalo limeshindwa kutekelezwa na Chama Cha Mapepari(CCM) kwa muda wa miaka 55,mapepari ambao wanajengeana nyumba za kifahari na kugaiana ardhi ya waTanzania bila kuona aibu wala haya.
Mbali ya bandari kuu Afrika ya mashariki ameahidi wananchi wategemee Zanzibar kuanza rasmi uvutaji wa gesi na mafuta kwani visiwa hivyo vinaelea katika utajiri huo unaoikamata dunia.
Jambo ambalo limeshindwa kutekelezwa na Chama Cha Mapepari(CCM) kwa muda wa miaka 55,mapepari ambao wanajengeana nyumba za kifahari na kugaiana ardhi ya waTanzania bila kuona aibu wala haya.
Mbali ya bandari kuu Afrika ya mashariki ameahidi wananchi wategemee Zanzibar kuanza rasmi uvutaji wa gesi na mafuta kwani visiwa hivyo vinaelea katika utajiri huo unaoikamata dunia.