Unaongelea broiler au wa kienyeji?Habari za muda huu wadau wa JF,nilikuwa naisikia Zanzibar tu, ila Kuna jambo nimeliona limenishangaza.Zanzibar nyama ya ng'ombe ni ghali kuliko kuku.Yani hata kwenye vibanda vya chips ni rahisi kupata mishkaki ya kuku kuliko ng'ombe.Kuku mzima perdu sh.5500 wakati kilo ya nyama ya ng'ombe ni 8000 hadi 10000.Sijui Hawa kuku wanaagiza kutoka nchi gani!!?.Hata maisha kiujumla Zanzibar yana unaunafuu mkubwa ila kwa upande wa miundo mbinu bado.All in all vifaa vya umeme Bei sawa na bure,nimeulizia TV flat HD Nch 42 sh.350000!!used,hizo friji ndio tele hazina hata mnunuzi.Gari Hadi million 2 unapata.
Bhuddah gar gani 2m unapata hukoHabari za muda huu wadau wa JF,nilikuwa naisikia Zanzibar tu, ila Kuna jambo nimeliona limenishangaza.Zanzibar nyama ya ng'ombe ni ghali kuliko kuku.Yani hata kwenye vibanda vya chips ni rahisi kupata mishkaki ya kuku kuliko ng'ombe.Kuku mzima perdu sh.5500 wakati kilo ya nyama ya ng'ombe ni 8000 hadi 10000.Sijui Hawa kuku wanaagiza kutoka nchi gani!!?.Hata maisha kiujumla Zanzibar yana unaunafuu mkubwa ila kwa upande wa miundo mbinu bado.All in all vifaa vya umeme Bei sawa na bure,nimeulizia TV flat HD Nch 42 sh.350000!!used,hizo friji ndio tele hazina hata mnunuzi.Gari Hadi million 2 unapata.
Dunia nzima kuku ni bei nafuu kuliko ng'ombe isipokuwa Tanganyika peke yakeHabari za muda huu wadau wa JF,nilikuwa naisikia Zanzibar tu, ila Kuna jambo nimeliona limenishangaza.Zanzibar nyama ya ng'ombe ni ghali kuliko kuku.Yani hata kwenye vibanda vya chips ni rahisi kupata mishkaki ya kuku kuliko ng'ombe.Kuku mzima perdu sh.5500 wakati kilo ya nyama ya ng'ombe ni 8000 hadi 10000.Sijui Hawa kuku wanaagiza kutoka nchi gani!!?.Hata maisha kiujumla Zanzibar yana unaunafuu mkubwa ila kwa upande wa miundo mbinu bado.All in all vifaa vya umeme Bei sawa na bure,nimeulizia TV flat HD Nch 42 sh.350000!!used,hizo friji ndio tele hazina hata mnunuzi.Gari Hadi million 2 unapata.
Ahahahah!Dunia nzima kuku ni bei nafuu kuliko ng'ombe isipokuwa Tanganyika peke yake
Wapo kila sampuli ila ukifumaniwa na binti was mtu ujue ndoa ya mkeka inakuhusu.VP kuhusu jamii ya akina wema sepetu Wanalikaje huko ktk marashi ya peponi maana wengine ss kula kula nyama no we like good girls ,freshing minds, & hearts
Sent using Jamii Forums mobile app