SUK kupitia kwa makamu wa pili wa Rais imethibitisha hoteli zilizoungua zitarejeshwa zilivyokuwa na serikali.
Kwa hali hii Jussa na hivyo Zitto ishindikane vipi kuwaelewa?
Hata hivyo, kunoga huku huko Zanzibar kunatuhusu pia sisi huku bara? Au huku kwetu ni yale ya matetemeko Kagera?
Zanzibar mbele kwa mbele.
------
Source: ITV habari.
Kwa hali hii Jussa na hivyo Zitto ishindikane vipi kuwaelewa?
Hata hivyo, kunoga huku huko Zanzibar kunatuhusu pia sisi huku bara? Au huku kwetu ni yale ya matetemeko Kagera?
Zanzibar mbele kwa mbele.
------
Source: ITV habari.