Hatuna maji na umeme hivyoo
Hizo hotel zilikuwa za makuti
Inawezekana wa bima ya zanzabra ambayo ndo hiyo serikali hiyohiyoKwani kuwa na sehemu ikiwa ni makuti ndiyo kunako ihamasishe serikali kuzigharimia?
Tetemeko la Kagera na majanga mengi lukuki yaliyotukumba huku bara tungali tunayakumbuka ujue ...
Hakika yake, zile habari za kidole kikiuma kinaathiri mdomo
ni za kusadikika.
Inawezekana wa bima ya zanzabra ambayo ndo hiyo serikali hiyohiyo
nyumbani kwanza, zamu kwa zamu eti!
Serikali makini chini ya ccm!
Kwa mgao wanaopewa na Tanganyika awamu hii, wanaweza kufanya hayo na zaidiSUK kupitia kwa makamu wa pili wa Rais imethibitisha hoteli zilizoungua zitarejeshwa zilivyokuwa na serikali.
Kwa hali hii Jussa na hivyo Zitto ishindikane vipi kuwaelewa...
Kwa mgao wanaopewa na Tanganyika awamu hii, wanaweza kufanya hayo na zaidi
Sidhani kama serikali itafanya hivyo, bali naona ni kama sehemu ya kuchukulia pointi za mezani.
Kwa hakika si sawa na ndiyo chimbuko la huu uzi.haiwezi kuwa sawa labda kama huo moto ulisababishwa na serikali... Hizo hotel zilipaswa kuwa na Bima, serikali kugharamia maana yake ni kuruhusu watu kutokatia bima biashara wakiamini serikali itafidia..
Hivi hapo Zanzibar maji na umeme vipo?
Kwani mimi ndiye niliyeleta huo moto kuziunguza hizo hotel?