Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,361
- 2,378
Wadau.
Hili jambo la rates tofautI za custom,excise and duty tax kati ya bara na zbr zinachanganya wafanyabiashara. Kama mamlaka hizi za kodi haziwezi kuweka rates sawa bac PBZ Wawe na currency yao ili iendane na ushuru wake
tusiweke udini pls..tujadili uhalisia wa mambo.ukilipa ushuru zbr ukija bara unachajiwa tena..kwani unguja si sehemu ya tz?
Hili jambo la rates tofautI za custom,excise and duty tax kati ya bara na zbr zinachanganya wafanyabiashara. Kama mamlaka hizi za kodi haziwezi kuweka rates sawa bac PBZ Wawe na currency yao ili iendane na ushuru wake
tusiweke udini pls..tujadili uhalisia wa mambo.ukilipa ushuru zbr ukija bara unachajiwa tena..kwani unguja si sehemu ya tz?