Zanzibar 2020 Zanzibar: Maalim Seif anafunga Kampeni zake leo

ACT Wazalendo

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2014
Posts
631
Reaction score
1,577
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad hivi sasa yuko katika Kiwanja cha Mnazi Mmoja Unguja kuhitimisha Kampeni zake za kuelekea Ikulu.


Maalim Seif akiingia Kiwanja cha Mnazi Mmoja


Wanawake hawako nyuma katika shughuli ya kumpeleka Maalim Seif Ikulu


Sehemu ya Umati wa watu waliojitokeza leo kwenye Mkutano wa Mgombea Urais wa Zanzibar
 
Maalim asante kwa kushiriki

Wazanzibari hawawezi kumpigia kura msaliti wa Mapinduzi matukufu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…