MadameX
JF-Expert Member
- Dec 27, 2009
- 7,792
- 3,856
1 kg Viazi mviringo/ulaya
1/2 kikombe unga wa ngano
1 kijiko bizari(rangi ya mchuzi)
4 malimau/ndimu au upendavyo
chumvi kiasi
6 ltrs maji...yakutosha kuivisha
Namna ya kupika
1)Chemsha viazi kwenye maji 4 ltrs na maganda yake mpaka ziwive lakini zisivurugike,zikiiva zimwage maji ziweke pembeni.
2) Tia maji 2 ltrs ktk sufuria weka jikoni, koroga unga wako wa ngano ktk bakuli utie maji na bizari uchanganye uwe hauna madonge na uzito uwe kama wa mkate wa maji uzidi kidogo tu.
3) Maji yakipata moto utie unga wako huku unakoroga usiachie mkono mpaka uone umeshikana kama uji, punguza moto tia chumvi, kamua malimau au ndimu ktk kibakuli towa kokwa tia huo ukali ktk urojo, onja kiasi chako raha ya urojo uwe mkali kidogo,
3) Menya viazi vyako uvikate vipande saizi sio vikubwa, vitumbukize kwenye urojo acha vichemke kama dakika 5 hivi, epua, tia kwenye bakuli.
4) Hapo kama mpenzi wa bajia, crips, chips za mhogo, chatne unaziweka na kukoroga na tayari kwa kuliwa
1/2 kikombe unga wa ngano
1 kijiko bizari(rangi ya mchuzi)
4 malimau/ndimu au upendavyo
chumvi kiasi
6 ltrs maji...yakutosha kuivisha
Namna ya kupika
1)Chemsha viazi kwenye maji 4 ltrs na maganda yake mpaka ziwive lakini zisivurugike,zikiiva zimwage maji ziweke pembeni.
2) Tia maji 2 ltrs ktk sufuria weka jikoni, koroga unga wako wa ngano ktk bakuli utie maji na bizari uchanganye uwe hauna madonge na uzito uwe kama wa mkate wa maji uzidi kidogo tu.
3) Maji yakipata moto utie unga wako huku unakoroga usiachie mkono mpaka uone umeshikana kama uji, punguza moto tia chumvi, kamua malimau au ndimu ktk kibakuli towa kokwa tia huo ukali ktk urojo, onja kiasi chako raha ya urojo uwe mkali kidogo,
3) Menya viazi vyako uvikate vipande saizi sio vikubwa, vitumbukize kwenye urojo acha vichemke kama dakika 5 hivi, epua, tia kwenye bakuli.
4) Hapo kama mpenzi wa bajia, crips, chips za mhogo, chatne unaziweka na kukoroga na tayari kwa kuliwa