Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja amewaomba wananchi wa mkoa huo kujitokeza kwa wingi katika zoezi la uandikishwaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura lengo likiwa ni kuhakikisha wanakwenda kuwapigia kura viongozi wanaowahitaji katika jamii na nchi kwa ujumla
Mhe. Ayoub ameyasema hayo leo wakati wa zoezi la kuhamasisha wananchi kupitia Kampeni ijulikanayo kwa jina la Ride to Vote ambayo inalenga kuikumbusha jamii kujiandika katika daftari la wapiga kura ambapo kwa mkoa wa Kusini zoezi hilo litakuwa ni siku tatu kuanzi tarehe 11,12 na 13.
Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja amewaomba wananchi wa mkoa huo kujitokeza kwa wingi katika zoezi la uandikishwaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura lengo likiwa ni kuhakikisha wanakwenda kuwapigia kura viongozi wanaowahitaji katika jamii na nchi kwa ujumla
Mhe. Ayoub ameyasema hayo leo wakati wa zoezi la kuhamasisha wananchi kupitia Kampeni ijulikanayo kwa jina la Ride to Vote ambayo inalenga kuikumbusha jamii kujiandika katika daftari la wapiga kura ambapo kwa mkoa wa Kusini zoezi hilo litakuwa ni siku tatu kuanzi tarehe 11,12 na 13.