1. Elimu bure
2. Afya bure
3. Ajira mpya zaidi ya 300,000
4. Uchumi wa bluu kuimarisha sekta ya utalii, uvuvi, mafuta na gesi.
5. Viwanda vipya kujengwa
6. Barabara za lami kilomita 198 kujengwa
7. Umeme wa uhakika na wa gharama nafuu
8. Utalii kukuzwa na kuingiza zaidi ya Watalii 850,000
9. Mikataba ya mafuta na gesi kufumuliwa na kuingiwa mipya yenye tija kwa Wazanzibar
10. Wavuvi wadogo wadogo kuwezeshwa
11. Ujenzi wa viwanja vya ndege vya kisasa
12. Ujenzi wa bandari ya kisasa kupokea meli kubwa na makontena mengi.
13. Kukomesha udhalilishaji wa akina Mama na Watoto
14. Kujenga umoja, kuwaunganisha Wazanzibar
15. Kushughulikia wala rushwa na Mafisadi.
*Kwa Zanzibar mpya*,
*Chagua Dkt. Hussein Mwinyi* awe Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
*Chagua CCM*
*Shilatu, E.J*
2. Afya bure
3. Ajira mpya zaidi ya 300,000
4. Uchumi wa bluu kuimarisha sekta ya utalii, uvuvi, mafuta na gesi.
5. Viwanda vipya kujengwa
6. Barabara za lami kilomita 198 kujengwa
7. Umeme wa uhakika na wa gharama nafuu
8. Utalii kukuzwa na kuingiza zaidi ya Watalii 850,000
9. Mikataba ya mafuta na gesi kufumuliwa na kuingiwa mipya yenye tija kwa Wazanzibar
10. Wavuvi wadogo wadogo kuwezeshwa
11. Ujenzi wa viwanja vya ndege vya kisasa
12. Ujenzi wa bandari ya kisasa kupokea meli kubwa na makontena mengi.
13. Kukomesha udhalilishaji wa akina Mama na Watoto
14. Kujenga umoja, kuwaunganisha Wazanzibar
15. Kushughulikia wala rushwa na Mafisadi.
*Kwa Zanzibar mpya*,
*Chagua Dkt. Hussein Mwinyi* awe Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar
*Chagua CCM*
*Shilatu, E.J*