Tetesi: Zanzibar na usafiri wake kipindi hiki cha Corona

Tetesi: Zanzibar na usafiri wake kipindi hiki cha Corona

lutemi

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2013
Posts
1,748
Reaction score
1,388
Habarini
Katika kipindi hiki cha maambikizi ya ugonjwa huu hatari, naomba niwakumbushe au niwatahadharishe wakazi wote wa Zanzibar.

1. Ni usafiri wa daladala zinaitwa chai maharage
Ukweli usafiri huu serikali ya mapinduzi hebu muutazame
Hii ni hatari sana watu wanajazana kwelikweli.
Serikali pigeni marufuku usafiri huu hauna afya kabisa.
 
Kuna bajaji za mbezi manzese huku Dar ni za njano. Juzi nimepanda tukaambiwa tunaingia saba kwenye bajaji na mmoja anakaa kwenye siti ya dereva. Si mchezo nikajikuta naomba nikae na dereva
 
Mungu awaokoe masikini wote ,
Amina .
Hakuna wanaokufa kama matajiri mana wanapenda maisha ya raha na wanakuta wanakufa ovyo
Corona inawamaliza wale wenye magonjwa yao zaidi na matajiri wengi wana masukari, mapresha nk
Mpaka ije kumuua masikini ishaua matajiri wote tena wanakufa sheli wanapoenda lkuweka mafuta na magari yao maana kila mtu lazima apite sheli

Mungu awaokoe Matajiri wote
Amina
 
Hakuna wanaokufa kama matajiri mana wanapenda maisha ya raha na wanakuta wanakufa ovyo
Corona inawamaliza wale wenye magonjwa yao zaidi na matajiri wengi wana masukari, mapresha nk
Mpaka ije kumuua masikini ishaua matajiri wote tena wanakufa sheli wanapoenda lkuweka mafuta na magari yao maana kila mtu lazima apite sheli

Mungu awaokoe Matajiri wote
Amina
Hahaa siku hizi kisukari na presha havibagui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna wanaokufa kama matajiri mana wanapenda maisha ya raha na wanakuta wanakufa ovyo
Corona inawamaliza wale wenye magonjwa yao zaidi na matajiri wengi wana masukari, mapresha nk
Mpaka ije kumuua masikini ishaua matajiri wote tena wanakufa sheli wanapoenda lkuweka mafuta na magari yao maana kila mtu lazima apite sheli

Mungu awaokoe Matajiri wote
Amina
Mungu awaokoe akina nani? hapana aisee.. wametufisadi sana kwanini wasitangulie?
 
5ff0de4e-8377-4a66-a92c-9dbb2e5c1e91.jpg




Haya mambo ya daladala zanzibar yatatumaliza.
Ona trend sasa
 
Umenena Mkuu. Naomba nikumbushetu tu kwamba Zanzibar kuna chai maharage watu wanabanana. Darusalama kuna vibajaji watu wanakamuana. Chondechonde ujiti na jito ncha una hoho. Ukiwa juu ya mlima unao uwezo wa kuona vyema yanayotokea bondeni tena kwa ufasaha.
 
Naunga mkono hoja
Habarini
Katika kipindi hiki cha maambikizi ya ugonjwa huu hatari, naomba niwakumbushe au niwatahadharishe wakazi wote wa Zanzibar.

1. Ni usafiri wa daladala zinaitwa chai maharage
Ukweli usafiri huu serikali ya mapinduzi hebu muutazame
Hii ni hatari sana watu wanajazana kwelikweli.
Serikali pigeni marufuku usafiri huu hauna afya kabisa.
.
 
ule usafiri mnakaa mnatizamana pua macho na mdomo afu unachangia sana ubaguzi kati ya Wabara na Wazenji maana Wazenji akikutizama mara mbili tatu ashajua wewe ni ‘chogo’ utalipa nauli tofauti.
 
Back
Top Bottom